Posts

Showing posts from November, 2021
Image
TAFAKARI YA NENO LA MUNGU Bwana Yesu asifiwe Wapendwa; Tafakari ya Neno la Mungu kutoka ISAYA 29. Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimejifunza kutoka katika sura hii ya ISAYA 29. JAMBO LA KWANZA Mungu anatoa ole juu ya mambo yafuatayo kutoka kwenye mstari wa 15. “Ole wao wanaojitahidi kumficha Bwana mashauri yao, na matendo yao yamo gizani, nao husema, Ni nani atuonaye? Nani atujuaye?” — Is 29:15 (SUV) a. Wale wanaomficha Bwana Mungu Mipango yao (Plans). Ambao wanafanya mambo peke yao. Hawataki kumuuliza Mungu/ kumweleza Mungu juu ya mipango yao au kupata direction (mwelekeo) wa mipango yao. “Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali Bwana huziongoza hatua zake.” — Mit 16:9 (SUV) Maana yake ni hii; _Pale unapofanya mambo yako mwenyewe (pasipo kumshirikisha Mungu) ni kutaka kuonyesha kwamba/kukataa kwamba Mungu sio Muumbaji. b. Wale wafanyao maovu huku wakidhani ya kwamba Mungu hawaoni kwa yale wayafanyayo. Huko ni kujidanganya sisi wenyewe. Tusidhani kwamba Mun...
Image
  YOU SHOULD UNDERSTAND THIS PLEASE (UNATAKIWA KUELEWA NA KUFAHAMU HILI).                                         Church is hospital, that's why it's not everybody you meet in church you can marry. Kanisani ni hospitali, na ndo maana si kila mtu unayekutana naye, unaweza kumuoa/kuolewa naye Church is hospital and good hospital is known by the amount of sick people you see in it. Kanisa ni hospital na hospital nzuri inajulikana au inatambulika kwa idadi ya wagonjwa unaowaona katika hospitali hiyo. Huwezi kusema hospitali fulani ni nzuri na ya Kimataifa halafu ndani yake hamna mgonjwa hata mmoja. Unapoenda hospital na kukutana wagonjwa wengi, mwingine anasumbuliwa na mguu, mwingine unamwona anaharisha pale, mwingine anatapika pale, mwingine yuko mahututi n.k hiyo ni ISHARA ya Kuonyesha kuwa ni Hospital nzuri na wanafanya kazi. Kwa maana hiyo hospital nzuri ni ile ambayo ina wagonjwa ...