Posts

Showing posts from March, 2023

GHARAMA YA KUJILINGANISHA NA WENGINE

 GHARAMA YA KUJILINGANISHA NA WENGINE   Don't compare yourself with someone else!!! ....unapoteza kusudi lako   ....Unapoteza upekee wako   ....Unapoteza uwezo wako   ....Hautafanya kwa viwango ulivyotakiwa.   ....Hautakuwa na matokeo makubwa   ....Huwezi kuwa mkuu kwenye eneo lako kwa kuwa photocopy ya mtu mwingine   .....Unapoteza rasilimali zilizoandaliwa kutimiza kusudi lako.   ...God's provisions, alizoandaa Mungu kwa ajili yako..God will never fund something else out of his purpose   Mungu huwa hatoi rasilimali bure..huwa anatoa rasilimali kwa ajili ya kukamilisha kusudi lake.   Unaweza kujifunza kwa wengine wanaofanya vizuri ili uwe bora    Huwezi kuwa bora kwa kuiga bali kwa kujifunza...   Kila mtu anao upekee wake unaomfanya yeye awe bora    Ndani yako Kuna upekee wako wa kukufanya bora...kwa kujifunza unaendelea kuchonga ubora unaoutaka.   Jipime wewe kama wewe,jipime wewe kama unafanya inav...

USIKATE TAMAA.....

  When giving up is the only option that u have... U feel like you can't make it.   Hi hali ni kawaida kumpata kila mtu ambaye kuna jambo analifanya na anatamani kulikamilisha.. Unaweza kuhisi kukata tamaa wakati ambao safari yako bado ndefu Sana.. Eliya alifika mahali akajilaza akajiombea kufa wakati ambao safari yake ilikuwa bado ndefu.. Unahitaji kufanya kitu kitakachokupa nguvu za kuendelea mbele..malaika alimtokea Eliya akampa mkate na gudulia la maji wakati ambao yeye aliona imetosha anajiombea afe.1falme19:5 Unaweza kusikia kukata tamaa wakati ambao jambo unalofanya lina ulazima kukamilika haijalishi hali uliyo nayo.   Ilifika mahali Yesu anasema roho yake ina huzuni nyingi kiasi cha kufa,...anasema ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke ila si kama nitakavyo mimi bali mapenzi yako yatimizwe. Ni kweli umechoka ila ulichoanza kukifanya lazima ukimalize. Jitie nguvu...Yesu aliondoka kwenda kuomba mlimani...kwa huzuni aliyokuwa nayo hata kulala alikuwa hawezi ulikuwa ni...